Mlinzi

Share

Mkataba: Muda Maalumu – Miezi 12
Masaa ya Kazi: Saa 45 kwa wiki (ikiwemo mwisho wa wiki)
Anaripoti kwa: Msimamizi wa Miundombinu (Facilities Manager)
Mshahara: Tsh. 275,000 – Tsh. 300,000 kwa mwezi kutegemeana na uzoefu
Mahali: Moshi, Tanzania
Manufaa ya Ziada: Kifurushi cha Motisha Kikubwa kinachojumuisha posho ya kodi, kifurushi cha simu, chakula na mchango wa mfanyakazi katika bima ya afya ya familia

Sifa/Viwango vya Chini vya Elimu/Ujuzi:

  • Uzoefu katika kazi ya ulinzi au inayofanana na hiyo
  • Uwezo mzuri wa kuwasiliana na wafanyakazi, Watoto na wageni kwa weledi

Jinsi ya Kuomba:

Tuma wasifu wako na barua ya maombi ya Kazi yakielezea kwanini uchaguliwe wewe kwa barua pepe: jobs@kijana-kwanza.org au leta maobi yako ofisini kwetu.

Mwisho wa kutuma maombi: Ijumaa 20 Juni 2025 (saa 8 mchana)

Pakua maelezo kamili ya kazi hapa.

Kwa maelezo zaidi piga:

0652 314 119 or 0656 603 021